pmbet

Kikwete na Zuhura Yunus kwenye mdahalo Saudi Arabia

Sisti Herman

February 4, 2025
Share :

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb) na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo, Zuhura Yunus walipokuwa wakifuatilia mdahalo katika Mkutano wa Kimataifa wa Soko la ajira unaoendelea jijini Riyadh nchini Saudi Arabia.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet