'Tanzania One’ asajiliwa Simba
Eric Buyanza
September 3, 2025
Share :
Mlinda mlango namba moja wa kikosi cha timu ya taifa Tanzania (Taifa Stars) Yakubu Selemani amesajiliwa na Simba.
Simba imefanikiwa kumsajili kipa huyo wa aliyeng’aa na Taifa Stars pamoja na JKT Tanzania kwa mkataba wa miaka miwili.






