pmbet

Afcon ya maajabu, wakubwa wote chali

Sisti Herman

January 31, 2024
Share :

Kwa mara ya kwanza michuano ya kombe la mataifa Afrika (AFCON 2023) makala ya 33 zinaandika rekodi mpya zenye msisimko wa aina yake ambayo huendelea kufanya kuwa michuano pendwa zaidi.

 

Hizi hapa rekodi mbalimbali ambazo zinasisimua;

 

Timu bora Afrika kwa mujibu wa viwango vya ubora wa FIFA (FIFA RANKINGS)

1. Morocco
2. Senegal
3. Tunisia
4. Algeria
5. Egypt

Timu hizi zote zimeaga mashindano kabla ya Robo fainali, AWESOME

1. Morocco - round of 16
2. Senegal - round of 16
3. Tunisia - Group stage
4. Algeria - Group stage
5. Egypt - round of 16

Timu zilizoingia robo fainali 2021

1. Morocco
2. Senegal
3. Tunisia
4. Cameroon
5. Burkinafaso
6. Eq. Guinea
7. Gambia
8. Egypt
 

Timu zilizoingia robo fainali 2023

1. Cape Verde
2. South Africa
3. DR Congo
4. Guinea
5. Mali
6. Ivory Coast
7. Nigeria
8. Angola

Anguko la wakubwa

- Timu zote zilizoingia robo fainali 2021, hazijafuzu 2023
- Timu zote zilizoingia robo fainali 2023, hazikufuzu 2021

 Anguko la wakubwa limetokana na nini? Tupe maoni yako

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet