pmbet

Agrey kocha mkuu Pan African

Sisti Herman

January 21, 2024
Share :

Gwiji wa Zamani wa Timu ya Taifa  ya Tanzania na Nahodha wa Klabu ya Azam Agrey Moris ameteuliwa kuwa kocha Mkuu wa Pan African FC inayoshiriki ligi daraja la kwanza Tanzania " championship ".

 

Agrey kabla ya kutambulishwa na  Pan African hivi karibuni aliwahi kuhudumu katika  Benchi la ufundi la Azam FC .
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet