pmbet

Al Hilal inawataka Martinelli na Watkins wote kwa pamoja

Sisti Herman

August 23, 2026
Share :

 

Al Hilal inashughulikia kwa udi na uvumba mikataba miwili mikubwa ya kuwasajili mshambuliaji wa Aston Villa, Ollie Watkins, na winga wa Arsenal, Gabriel Martinelli.

Klabu hiyo ya Saudi Arabia inayofundishwa na Simone Inzaghi, imeweka kipaumbele katika kuimarisha safu yake ya ushambuliaji kwa kumsajili winga na mshambuliaji wa kati wa kiwango cha juu kabla ya dirisha la usajili la majira ya joto kufungwa.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet