Alama 3 za kwanza Kombe la Dunia zimetetewa na timu 2 tu.
Joyce Shedrack
June 18, 2026
Share :
Michezo ya kwanza ya Kombe la Dunia kwa timu zote mbili imemalizika huku timu 2 pekee za bara la Afrika zikifanikiwa kuibuka na ushindi na timu 4 zikipata sare pamoja na kipigo kwa timu 4.
Timu za Afrika zilizoanza na ushindi ni
1-0 Ghana š¬š
1-0 Ivory Coast šØš®

Zilizopata sare
1-1 Morocco
1-1 Egypt šŖš¬
1-1 Congo DR šØš©
0-0 Cape Verde šØš»
Zilizoambulia kipigo
ā5-1 Tunisia š¹š³
ā3-1 Senegal šøš³
ā2-0 South Africa šæš¦
ā3-0 Algeria š©šæ





