pmbet

Arajiga ateuliwa na CAF kuchezesha nusu fainali ya Senegal na Ghana leo

Sisti Herman

March 19, 2024
Share :

Mwamuzi wa Tanzania, Ahmed Arajiga, ameteuliwa na shirikisho la soka Afrika (CAF) kuwa mwamuzi wa mchezo wa nusu fainali mashindano ya All African Games kati ya Senegal U20 dhidi ya Ghana U20 utakaochezwa leo usiku.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet