pmbet

Argentina chupuchupu Copa-America, Messi akosa penati

Sisti Herman

July 5, 2024
Share :

Huu ni mkwaju wa penati aliyokosa nahodha wa timu ya Taifa Argentina Lionel Messi elo alfajiri kwenye mchezo wa robo fainali ya kombe la mataifa Ulaya (Copa-America) dhidi ya Ecuador, Argentina wakipita wa penati.

Mchezo huo uliochezwa kwa dakika 120 na kushuhudia sare ya 1-1 uliamuliwa kwa mikwaju ya penati ambapo Argentina walishinda penati 4-2 huku Messi akikosa penati ya kwanza.

Baada ya ushindi huo Argentina wamefuzu hatua ya nusu fainali na watacheza na mshindi kati ya Canada na Venezuela.

Footage shows Lionel Messi consoled by Ecuador goalkeeper in classy gesture  after penalty miss | talkSPORT
pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet