pmbet

Arsenal, Liverpool, Man U waambiwa waandae Euro Milioni 100 kumpata Antonio Silva

Eric Buyanza

May 23, 2024
Share :

Klabu za Arsenal, Liverpool na Manchester United wameripotiwa kufanya mazungumzo na Benfica kuhusu uwezekano wa kumnunua Antonio Silva.

Vilabu hivyo vitatu vya Premier League vinatamani kupata huduma ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Ureno kwenye dirisha kubwa la usajili.

Taarifa zinasema beki huyo mwenye umri wa miaka 20 anagharimu takriban Euro milioni 100.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet