Arsenal ndiyo timu pekee ambayo haijapoteza mechi UEFA hadi sasa
Sisti Herman
May 6, 2026
Share :

Hadi jana baada ya kuwaondoa Atletico Madrid kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL), Arsenal ndio timu pekee ambayo haijapoteza iliyosalia kwenye Ligi ya Mabingwa ya UEFA 2025/26, ikiwa imedumisha rekodi nzuri hadi kufika nusu-fainali.
Walitinga fainali kufuatia ushindi wa jumla wa 2-1 dhidi ya Atletico Madrid, na hivyo kuzidisha hadhi yao ya kuwa timu pekee ambayo haijapoteza katika michuano ya Ligi Mabingwa Ulaya msimu huu.





