pmbet

Arsenal watalazimika kutoa Pauni Milioni 50 kumsajili Mbrazil wa Villa

Eric Buyanza

June 10, 2024
Share :

Michezo The Gunners wanataka kuboresha kikosi chao kuelekea msimu ujao na hivyo kumuweka kwenye list yao kiungo wa kati wa Brazil, Douglas Luiz. 

Kwa mujibu wa gazeti la The Mirror, Arsenal watalazimika kulipa pauni milioni 50 ili kumsajili mchezaji huyo kutoka Aston Villa mwenye umri wa miaka 26.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet