pmbet

Awesu Awesu kutua Simba ni suala muda.

Joyce Shedrack

July 6, 2024
Share :

Huwenda klabu ya Simba ikakamilisha uhamisho wa kiungo Awesu Awesu kutoka KMC FC kuwa mchezaji wao ikiwa ni mwendelezo wa maboresho ya kikosi hicho kuelekea msimu wa 2024/25.

Taarifa zinasema nahodha huyo wa wakusanya ushuru wa Manispaa ya Kinondoni mwenye umri wa miaka 26 tayari ameshamalizana na wekundu wa msimbazi Simba.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet