pmbet

"Azam walitufunga kwasababu tulikuwa na mawazo ya Mamelodi, leo tunajilipua" - Gody Yanga

Sisti Herman

June 2, 2024
Share :

Kuelekea mchezo wa fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB itakayowakutanisha klabu ya Yanga na Azam, Shabiki wa Yanga maarufu kama Gody Yanga kwenye mahojiano na mwandishi wa PM TV Petro Mzigu amefunguka mengi kuhusiana na mchezo huo

 

Gusa video hapa chini kumsikiliza

 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet