pmbet

Baada ya Waziri Mkuu kutimuliwa, Spika nae atangaza kujiuzulu

Eric Buyanza

May 25, 2026
Share :

Spika wa Bunge la Senegal ametangaza kwamba atajiuzulu wadhifa huo siku mbili baada ya mshirika wake wa karibu Ousmane Sonko kuvuliwa uwaziri mkuu, hatua inayozidisha mzozo wa kisiasa nchini humo.

 

Uamuzi huo wa spika El Malick Ndiaye unamfungulia njia Sonko kuwania nafasi hiyo ya kuliongoza bunge linalodhibitiwa na chama chake cha Pastef ili kumkabili Rais Basirou Diomaye Faye.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet