pmbet

Baba mzazi wa Samatta afariki dunia

Sisti Herman

July 6, 2025
Share :

 

Baba mzazi wa nahodha wa kikosi cha timu ya Taifa Tanzania Mbwana Samatta, Mzee Ally Samatta amefariki dunia leo asubuhi.

Mzee Samatta amefariki dunia katika Hospital ya Kilwa Road Jijini Dar es Salaam

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet