pmbet

Baba zao wapanga kuachia ngoma ya pamoja

Eric Buyanza

June 19, 2025
Share :

Mwanamuziki wa Bongofleva baba nono #Kusah amefunguka kufanya kazi ya pamoja na baba naya #billnass yeye mwenyewe Kusah akimchukulia kama Moja ya Rapa kutoka Bongo mwenye Hit song nyingi, sauti Kali mwenye kujua kutembea na midundo yote huku mistari yake ikiwa imenyooka.

 

Ngoma ya #REWIND #Kusah amepanga Kuiachia Juni 20 ijumaa hii ikiwa na midondoko ya Ki Hip-Hop tofauti na ambavyo kusah amezoeleka na mashabiki zake kwa midondoko ya Kuyaimba Mapenzi ipasavyo.
 

#bessy_bernie
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet