pmbet

Banda anukia Singida

Sisti Herman

December 19, 2023
Share :

Klabu ya Singida Fountain Gate Fc ipo kwenye mazungumzo na kiungo mshambuliaji wa Nyasa Big Bullets na timu ya Taifa ya Malawi Peter Banda kwaajili ya kumsajili kwenye dirisha dogo lililofunguliwa desemba 15.

 

Winga huyo wa zamani wa Simba anadaiwa kuwagharimu Singida dola za  kimarekani 80,000 (Tsh milioni 200) ambayo Singida watalipa kwa awamu 2 tofauti.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet