pmbet

Baraza kocha mkuu Pamba

Sisti Herman

July 15, 2025
Share :

 

Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa timu za Biashara utd ya Mara, Kagera Sugar na Dodoma Jiji, Francis Baraza ameripotiwa kurejea nchini kukinoa kikosi cha wana Tp Lindanda Pamba Jiji ya jijini Mwanza.

Kocha huyo raia wa Kenya ana sifa ya kuvipa vipaji chipukizi jukwaa la kuonesha uwezo wao mfano ni kama Denis Nkane na Novatus Dismas wakiwa Biashara utd ya Mara.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet