pmbet

Bayern Munich yaweka mezani Pauni milioni 50 za kumnyakua Bernardo Silva

Eric Buyanza

June 24, 2024
Share :

Bayern Munich wanajiandaa kutoa kitita cha pauni milioni 50 kwa ajili ya kumnunua kiungo mshambuliaji wa Manchester City, Bernardo Silva.

Silva amehusishwa mara nyingi sana na Barcelona, ​​lakini ni wababe hao wa Ujerumani ambao wanatajwa kuwa na uwezekano mkubwa wa kuipata saini yake iwapo ataamua kuondoka Etihad.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet