pmbet

Bei ya kuunganisha umeme kwa Shilingi 177,000 ilifutwa, sasa ni Shilingi 27,000

Eric Buyanza

May 27, 2024
Share :

Serikali imesema gharama za kuuganisha umeme vijijini kwa Sh 177,000 kwa Shirika la Umeme (Tanesco) ilifutwa na sasa ni Sh 27,000 sawa na REA.

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ametoa kauli hiyo bungeni leo tarehe 27/05/2024

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet