pmbet

Beki wa Kaizer auwa na watu wasiojulikana

Sisti Herman

April 4, 2024
Share :

Beki wa Kaizer Chiefs ya nchini Afrika Kusini , Luke Fleurs [24] amefariki Dunia baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana.

Tukio hilo limeripotiwa kutokea usiku huu huku Johannesburg na kabla ya kufanyiwa tukio hilo vyanzo vinaarifu kuwa Luke alitekwa .

Fleurs alisajiliwa na Kaizer mwezi October 2023 na nia yake kubwa ilikuwa ni kushinda taji la PLS akiwa na Kaizer ndoto ambayo hajafanikiwa kuitimiza hadi mauti yanamkuta

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet