pmbet

Bernado awekewa mezani pauni milioni 51 na PSG aende Ufaransa!

Eric Buyanza

February 13, 2024
Share :

TETESI ZA SOKA
Kiungo wa kati wa Manchester City na Ureno Bernardo Silva, anawindwa na klabu ya Paris St-Germain ya Ufaransa.
 

Mabingwa hao wa Ufaransa wako tayari kulipa dau la Pauni milioni 51 kwa mchezaji huyo mwenye  miaka 29.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet