pmbet

Bernardo Silva kuitema Manchester City, anaitaka Barcelona

Eric Buyanza

April 24, 2024
Share :

Bernardo Silva amekuwa akihusishwa na kuhamia Barcelona mara kadhaa misimu iliyopita, lakini safari hii tetesi zinasema kiungo huyo wa kati wa Ureno ameamua kuondoka Manchester City ana nia ya kuhamia Barcelona.

Silva mwenye umri wa miaka 30 ni mmoja wa wachezaji bora kabisa wa safu ya kiungo duniani.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet