pmbet

Bertha wa PMTV ateuliwa kuwa MCO wa TAF

Sisti Herman

April 17, 2026
Share :

 

Mtangazaji mahiri wa michezo kutoka PM TV, Bertha Mswaga, ametangazwa rasmi na @tanzaniaarchery Federation kuwa Afisa Habari wa shirikisho hilo.

Shirikisho hilo linalojihusisha na michezo ya urushaji wa Mishale inayofanyika sana kwenye mataifa ya nje ya Nchi ikiwa kwa ukanda Afrika ni nchi tano tu zinazoshiriki

Uteuzi huo umefanywa leo Shirikisho hilo ambalo lipo kwenye usimamizi wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT).

Kila la kheri @therealbertha2

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet