pmbet

Bodaboda waandamana kupinga maandamano ya Gen Z Kenya.

Joyce Shedrack

July 23, 2024
Share :

Kundi kubwa la madereva wa bodaboda Nchini Kenya wamejitokeza Jijini Nairobi wakiandamana kupinga maandamano ya Gen Z yaliyokuwa yamepangwa kufanyika hii leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta.

Baadhi ya madereva hao wa bodaboda walikuwa na mabango yaliyoandikwa tunasimama na Ruto Gen Z sitisheni maandamano mpeni Rais muda wa kufanya kazi.

Hata hivyo waendesha bodaboda wa eneo la Nairobi wamewakana waandamanji hao na kuiomba serikali iache mara moja kuwatumia watu kuingilia maandamano yao.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet