pmbet

Burna Boy atajwa kwenye orodha ya 'Wanaume wanaovutia zaidi'

Eric Buyanza

April 13, 2024
Share :

Nyota wa muziki wa Afro Beat kutoka Nigeria, Damini Ogulu, maarufu kwa jina la 'Burna Boy', ameingia kwenye orodha ya 'Wanaume wanaovutia zaidi' ya jarida la Essence la nchini Marekani.

Orodha hiyo pia inajumuisha mastaa kama vile Usher Raymond, Trevente Rhodes, Daniel Kaluuya, Colman, na Skepta.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet