pmbet

Capt. Traore apiga marufuku ndoa za jinsia moja Burkina Faso

Sisti Herman

April 21, 2025
Share :

 

Rais wa serikali ya kijeshi ya Burkina Faso Capt. Ibrahim Traore rasmi amepiga marufuku kufungwa kwa ndoa za jinsia moja nchini humo na kubainisha wazi kuwa watakaobainika kufunga na kufungisha watashtakiwa kwa mujibu wa sheria inayoambatana na adhabu kali.

"Yeyote atakayekamatwa akishiriki kufunga au kufungisha ndoa za jinsia moja watakumbana na mkono wa sheria kwasababu haziendani na tamaduni za Afrika"

Hiyo ni nukuu ya Traore kama ilivyonukuliwa na Afrika World.
 

pmbet

pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League

pmbet
pmbet