pmbet

Cardi B na Offset waonekana pamoja baada ya kuachana

Sisti Herman

February 16, 2024
Share :

Licha ya marapa wawili maarufu kutoka pande za maandishi matatu U.S.A Cardi B na  aliyekuwa mumewe Offset kutangaza kuachana Novemba 2023, lakini bado wawili hao wameendelea kukutana katika baadhi ya matukio muhimu ikiwemo sikukuu ya Chismass, wameonekana tena wakiwa pamoja katika siku ya Wapendanao.

Imeelezwa kuwa wawili hao walionekana wakitoka katika mgahawa ulioko jijini Miami, nchini Marekani. Lakini mpaka kufikia sasa Cardi na Offset hawajatoa taarifa yoyote ya kama wamerudiana tena.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet