pmbet

Chadema: tunaingiliwa uhuru wa kisiasa

Sisti Herman

June 11, 2025
Share :

 

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA) kimetoa tamko kuwa kuna hali ya hatari inayojitokeza kwa kasi dhidi ya Vyama vya Siasa vinavyopigania mabadiliko ya kweli nchini
-
Chama hicho kimedai kuna juhudi za kurejea kwa enzi za Utawala wa Kiimla unaotumia Vyombo vya Dola na Mahakama kama zana za kukandamiza sauti mbadala, badala ya kulinda haki za Wananchi na Utawala wa Sheria
-
CHADEMA imetoa wito kwa Viongozi, Wanachama, Wafuasi wake na wote wanaoamini katika misingi ya uhuru, haki, na demokrasia, kuwa tayari kupokea maelekezo kutoka kwa Viongozi Wakuu wa Chama na kuwa hawatarudi nyuma katika kudai Tanzania yenye Mfumo wa Haki, Uhuru na Utawala wa Sheria.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet