pmbet

Chama 'amvaa' Ali Kamwe

Sisti Herman

September 8, 2026
Share :

 

Kiungo wa Simba, Clatous Chama amekwenda kuweka maoni yake katika chapisho la Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe.

 

Kamwe aliweka picha ndevu zake alizozipaka rangi na kuandika SELE DAY IMEWAKA, Chama ambaye ni kiungo mstaafu wa Zambia ameweka maoni hayo kwa kuandika My son.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet