Che Malone atwaa tuzo ya mchezaji bora wa kigeni Algeria
Sisti Herman
May 13, 2026
Share :

Aliyekuwa beki wa Simba SC, Che Malone amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa kigeni wa Ligi Kuu ya Algeria katika tuzo za DZBest 2025/26.
Che Malone ambaye alikiwasha vilivyo kwenye michuano ya AFCON 2025 amekuwa na msimu bora na USM Alger na tuzo hii ni muendelezo wa mafanikio yake.





