pmbet

Chelsea wanataka kumuuza Sanchez na kumnunua Ramsdale wa Arsenal kama mbadala

Eric Buyanza

February 24, 2024
Share :

TETESI ZA SOKA

Chelsea wako tayari kumuuza mlinda mlango wa Uhispania Robert Sanchez ambaye analezewa kama (project iliyofeli) na kumnunua kipa wa Arsenal kijana wa miaka 25 muingereza Aaron Ramsdale.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet