pmbet

Chilambo apewa miwili Azam FC

Sisti Herman

May 15, 2024
Share :

Baada ya kuridhishwa na kiwango chake msimu huu klabu ya Azam imemuongezea kandarasi ya miaka miwili beki wao wa kulia Nathan Chilambo.

Chilambo baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili ataendelea kusalia Azam hadi 2026.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet