Chuo cha Anga ujenzi ukikamilika
Sisti Herman
February 5, 2026
Share :

Mchoro unaoonesha muonekano wa Chuo cha Anga Tanzania (CATC) baada ya ya ujenzi kukamilika.
Chuo hicho kinajegwa katika eneo la Banana, jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuboresha mafunzo na maendeleo ya sekta ya usafiri wa anga nchini.





