pmbet

Dah...! Ndiyo basi tena, Pogba afungiwa miaka minne

Sisti Herman

February 29, 2024
Share :

Aliyekuwa kiungo sambusa wa Manchester United, Juventus na timu ya Taifa Ufaransa Paul Pogba amefungiwa kujihusisha na shughuli yoyote ya soka kwa miaka minne baada ya kukutwa na hatia ya kutumia dawa zilivyopigwa marufuku michezoni ambazo zinatajwa kuongeza na kusisimua misuli.

Endapo atatumikia adhabu hii mpaka ukomo wake, kiungo huyo mwenye asili ya Guinea atarudi uwanjani akiwa na umri wa miaka 35.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet