pmbet

Dau nono lampeleka winga wa Newcastle Barcelona

Eric Buyanza

May 28, 2026
Share :

Winga wa klabu ya Newcastle, Anthony Gordon anakaribia kukamilisha uhamisho wake kwenda Barcelona, na leo Alhamisi anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya.
 

Ikiwa dili hilo litakamilika mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza mwenye umri wa miaka 25, atalipwa mshahara wa paundi 300,000 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa wiki.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet