pmbet

Davido akutana na Rais wa Ufaransa kujadili mipango ya maendeleo

Eric Buyanza

October 24, 2025
Share :

Kupitia ukurasa wa X, mkali wa muziki wa Afrobeat kutoka Nigeria, Davido, amefichua madhumuni ya mkutano wake na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron.

Kwa mujibu wa Davido, yeye na Macron walijadili maendeleo ya kimataifa kwa ujumla wake.

"Ilikuwa ni heshima kubwa kukutana @EmmanuelMacron na kushiriki maono yetu kwa ajili ya ulimwengu bora", aliandika Davido.

Davido aliandamana na meneja wake, Asa Asika.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet