pmbet

De Gea anukia Newcastle

Eric Buyanza

December 5, 2023
Share :

Newcastle United inaweza kumsajili kipa wa zamani wa Manchester United, David de Gea ili kuchukua nafasi ya Nick Pope ambaye amepata majeraha ya bega na anaweza kuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi minne.
 

Pope aliumia Desemba 2, 2023 wakati Newcastle ikipata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Man. United, katika Premier League

De Gea ni mchezaji huru kwa sasa, mara ya mwisho mshahara wake ulikuwa Pauni 375,000 (Tsh. Bilioni 1.1) kwa wiki, kama Newcastle ikimsajili inaelezwa atalazimika kukubali kulipwa chini ya kiwango hicho.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet