pmbet

Delap apewa jezi yenye gundu Chelsea

Sisti Herman

June 5, 2025
Share :

 

Baada ya kukamilisha usajli wa mshambuliaji wao mpya, Liam Delap kutoka Ipswich iliyoshuka daraja, klabu ya Chelsea imempatia mshambuliaji huyo jezi namba 9 ambayo ni kama ina mkosi wa kufanya vizuri kwa wachezaji waliowahi kuivaa.

Jezi hiyo imewahi kuvaliwa na washambuliaji wafuatao;

- Alvaro Morata
- Radamel Falcao
- Pierre E. Aubameyang
- Romelu Lukaku
- Tammy Abraham
- Gonzalo Higuain

Na wengine wengi ambao hawajaacha alama kubwa kwenye klabu hiyo.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet