pmbet

Diamond atwaa tuzo ya Msanii bora wa Kimataifa Afrika Nchini Nigeria.

Joyce Shedrack

March 10, 2025
Share :

Staa wa muziki wa bongofleva Diamond Platnumz ameshinda Tuzo Nyingine Ya Msanii Bora Wa Kimataifa Kutoka Afrika 2025.

Diamond ameshinda Tuzo Hii Nchini Nigeria 🇳🇬 Tuzo Za Galaxy Music Awards. 

 

Hii tunaijumlisha na Wiki Kadhaa Nyumba Alishinda Tuzo Hii Yenye Mfanano Wa Category Hii Hii Katika Tuzo Za Trace.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet