pmbet

Dkt. Slaa kushiriki maandamano ya Chadema Mwanza kesho

Sisti Herman

February 14, 2024
Share :

Mwanasiasa mkongwe na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Wilbrod Slaa amethibitisha kushiriki katika maandamano ya CHADEMA yanayotarajiwa kufanyika mkoani Mwanza Februari 15, mwaka huu.

 

Mbali na Dkt. Slaa, wengine waliothibitisha kushiriki ni pamoja na wakili Boniface Mwabukusi, Mdude Nyagali (mwanaharakati), pamoja na viongozi wa juu wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet