pmbet

Dogo avumbua kifaa kitakachowawezesha vipofu kutembea bila fimbo

Eric Buyanza

July 8, 2024
Share :

Kutana na Khalifa Aminu, ambaye amevumbua aina ya miwani yenye 'sensor' itakayowasaidia vipofu kutembea bila kutumia fimbo.

Khalifa ambaye ni mwanafunzi wa sekondari mwenye umri wa miaka 17, anayeishi Kano nchini Nigeria, anasema amefanya uvumbuzi huo ili kuwasaidia vipofu duniani kote na anaendelea tafiti za kukiboresha kifaa hicho. 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet