pmbet

Dogo wa miaka 19 aoa wake wawili kwa siku moja!

Eric Buyanza

December 30, 2023
Share :

Huko Bauchi nchini Nigeria, Dogo wa miaka 19 aliyefahamika kwa jina la Tasiu Waziri Alkaleri, ameoa wake wawili kwa siku moja.
 

Inaelezwa kwamba Tasiu alioa jana siku ya Ijumaa kwa kufuata taratibu zote.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet