Duchu apigwa faini Milioni 1 kisa viashiria vya ulozi.
Joyce Shedrack
March 6, 2026
Share :
Mchezaji wa Simba David Kameta maarufu Duchu ametozwa faini ya Tsh. milioni 1 (1,000,000/=) kwa kosa la kumwaga kimiminika kiwanjani wakati timu hiyo ilipozuru uwanja dakika chache baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Amaan.
Kitendo hicho kimetafsiriwa kama Imani za kishirikina.





