pmbet

Elon Musk aangushwa, sasa tajiri namba 1 duniani ni Jeff Bezos

Eric Buyanza

March 5, 2024
Share :

Baada ya kukaa kileleni kwa zaidi ya miezi tisa, Elon Musk amevuliwa taji la kuwa mtu tajiri zaidi duniani.

Elon Musk amepoteza taji hilo kwa Jeff Bezos baada ya hisa katika kampuni yake ya Tesla kushuka kwa 7.2% siku ya Jumatatu.

Musk sasa ana utajiri wa dola bilioni 197.7 huku utajiri wa Bezos ukiwa dola bilioni 200.3

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet