pmbet

Ewura yatangaza bei mpya ya Mafuta, Petroli Dsm kuuzwa 3,314

Eric Buyanza

May 1, 2024
Share :

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za bidhaa za mafuta ya petrol, zitakazo anza kutumika kuanzia leo hii , Jumatano tarehe 1 May 2024.


 

Kwa mujibu wa taarifa hiyo bei kwa mkoa wa Dar es salaam Petroli itauzwa shilingi 3,314 huku Dizeli ikiuzwa 3,196.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet