pmbet

Farid apewa miaka miwili Yanga

Sisti Herman

July 2, 2024
Share :

Klabu ya Yanga imemuongezea mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Farid Mussa kwa miaka miwili zaidi.

Farid ambaye aliunga na Yanga mwaka 2020 akitokea CD Tenerrife B ya Hispania na amedumu kwa misimu minne mfululizo Yanga hadi sasa.

Kabla ya kwenda Ulaya Farid alikuwa mchezaji wa klabu ya Azam kuanzia timu za vijana.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet