pmbet

Futsal waifuata Namibia kufuzu Afcon

Sisti Herman

February 1, 2024
Share :

Kikosi cha Timu ya Taifa ya taifa ya soka la sakafuni (Futsal) kimeondoka leo asubuhi kuelekea nchini Namibia kwaajili ya  mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya wenyeji Namibia utakaochezwa Februari 3, 2024.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet