Gakpo kujiunga na Man City
Sisti Herman
August 29, 2026
Share :

Mpango wa Cody Gakpo kujiunga na Manchester City unaendelea kwa kasi ambapo kwa mujibu wa Fabrizio Romano makubaliano ya maslahi binafsi yamefikiwa, na klabu zote mbili zinawasiliana kuhusu ada ya uhamisho.
Liverpool wako tayari kumuuza Gakpo mara tu watakapopata winga mpya.





