pmbet

Giovanni Van Bronckhorst ajiunga na Liverpool kama kocha msaidizi

Eric Buyanza

July 2, 2025
Share :

Liverpool wamethibitisha kuwa Giovanni van Bronckhorst amejiunga na benchi la ukufunzi la Arne Slot kama kocha msaidizi. 

Mchezaji huyo wa zamani wa kimataifa wa Uholanzi amewahi kuinoa Feyenoord, Guangzhou R&F, Rangers na Besiktas. 

Xavi Valero nae amerejea Liverpool kama mkuu wa ukufunzi wa makipa wa kikosi cha kwanza, akitokea West Ham ambapo alihudumu kwa miaka saba.
 

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet